
SYMBOLS. FreemanBaseās symbols are all pretty known at this point of time. We are genuinely our Iconography and its not hard to see how you realize how we enduring the Organization. Every symbols from the Compass to the Square to the Towel, has a Purpose and that purpose is to teach some sort of Moral. That Moral might different depending on who you talk to, but that Lesson will always be there. We use symbols as teaching Aids in the Lectures Mason have to listen to in order to learn More about our Culture. This isnāt even getting into the Handshakes and greetings used to identify other Masons in the Outside world and Distinguish genuine brothers from Curious Outsiders.

ALAMA. Alama zetu ni zenye kujulikana sana kwa kipindi hiki, Sisi ni watu wenye Ikonografia ya Dhati na Siyo vigumu kutuona tukionyesha katika Mazingiza Tofautitofauti, Yote ni Namna ya Kuenzi taasisi yetu. Kila Alama kuanzia Kwenye Dira, Mraba Mpaka Plau, zina kusudio Maalumu, na Moja ya Makusudio hayo ni KUFUNDISHIA baadhi ya Maadili. Maadili haya lazima Utofauti Uwepo kutegemeana ni nani Unazungumza Naye, na Mafunzo haya Siku zote Yapo. Tunatumia Alama kama Nyenzo ya Kufundishia katika Mihadhara ya Chama. Ili kujifunza Zaidi kuhusu tamaduni zetu, Hii pia huonyeshwa kwa Salamu za Kushikana Mikono, Ambayo huwakilisha Uanachama kati ya wale Walio Duniani na Sisi. Yote ili kujiepusha na Watu wenye Kuhisi. #FreemanBase Mail:Freemanbase13@gmail. Com
