
Hakuna Unaloweza Kufanya Lisiwe na Matokeo Stahiki.
Cc MASTER FRANK SAIMON.
Naam!! FreemanBase
1: Mara Baada Ya Kusimamia, Kufunza, Kuratibu na Kugawa Mataji Kwa Wanafunzi WASIOPUNGUA Hamsini(50), Nchini Tanzania.
2: Kuratibu, Kusimamia, Kuwa Mwenyeji Wa Mkutano MKUU wa #FreemanBase Nchi Zote Za Kusini Mwa Jangwa La Sahara. (Uliofanyika Kuanzia Tarehe 28-30 August-2019, Visiwani Zanzibar).
TAASISI ya Ardhi ya Amani Imenitunuku Mkanda Wa Heshima(RPD Belt), Naam!! Mimi Siyo Wa Kwanza Nchini Tanzania Kuupata Mkanda Huu, Heshima Sijaitafuta Peke Yangu Pia, Basi Tunastahili Wote Heshima Hii.
ASANTE kwa Wewe Uliye Amua Kuniamini Na Kunifuata,(WALIMU NA WANAFUNZI) Kwa Maana Umeshiriki Kikamilifu Katika Heshima Hii, Na Naahidi Kuwatumikia Wote Mpate Mlicho kifuata Katika Ardhi ya Amani.
Ardhi ya Amani.🕍🕍✌🏿🙏🏿
