
THE BENEFITS OF JOINING FREEMANBASE: FAIDA ZA KUJIUNGA NA ARDHI YA AMANI[FREEMANBASE].
This is the among of the questions asked a lot by different people from all around the world,Just be attention and read the following;
1.It’s gonna Identify you.
2.It’s gonna make you a Powerful One.
3.It’s gonna make you a leader of your Mind and Soul.
4.It’s gonna make Understandable to yourself,Good and worse.
5.It’s gonna make you Understandable of your Soul life,.
6.It’s gonna let you know the World.
7.It’s gonna let you know about the city of FreemanBase.
8.It’s gonna let you know the True God.
9.It’s gonna let you live your Dream Life.
10.It’s gonna let you know how powerful[The power inside you] you’re and how to use the power you have.
Hili ni moja kati ya maswali ambayo yanaulizwa sana na watu mbalimbali kutoka kote Ulimwenguni,Kuwa makini na usome yafuatayo;
1.Itakufanya kuwa mtu mwenye Kujitambua.
2.Itakufanya kuwa mtu mwenye Nguvu.
3.Itakufanya kuwa kiongozi wa nafsi na Ufahamu wako.
4.Itakupa Ufahamu/Uwezo wa kulitambua Jema na Baya.
5.Itakupa Uwezo/Nafasi ya Kuyatambua Maisha ya Nafsi yako.
6.Itakupa Nafasi ya Kuutambua Ulimwengu na Mambo yake.
7.Itakupa Nafasi ya kuutambua mji wa Ardhi ya Amani.
8.Itakufanya Umutambue Mungu wa Kweli.
9.Itakufanya kuishi maisha ya Ndoto zako.
10.Itakupa nafasi/Uwezo ya Kuitambua Nguvu iliyo ndani yako na Namna ya Kuitumia.
KARIBU KATIKA ARDHI YA AMANI @FreemanBase.
E-mail;Freemanbase13@gmail.Com
